Kaimu Katibu kata wa
Chama Cha Mapinduzi kata ya Iyumbu jijini Dodoma Alex Lesilwa akimkabidhi
Mwandishi wa habari mwandamizi mkoani Dodoma John Banda Fomu ya kuomba kugombea
Udiwani kupitia chama hicho. (NA MPIGA PICHA WETU)
Mwandishi wa Habari Mwandamizi
ambaye pia ni Mwanachama wa Central
Press Club John Banda amechukua fomu ya kuomba kugombea Udiwani katika kata ya
Iyumbu jijini Dodoma.
Banda anaomba ridhaa
ya kugombea Udiwani wa kata hiyo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)
0 Comments