ZITTO AOMBOLEZA KIFO CHA MAALIM SEIF.

 

Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema Maalim Seif amekuwa nguzo muhimu ya ujenzi wa demokrasia ya vyama vingi katika taifa la Tanzania na mtetezi mkubwa wa maslahi ya Zanzibar.


Zitto ameyasema hayo wakati akitoa taarifa ya msiba wa Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha ACT-Wazalendo kwa Umma wa Watanzania.

Post a Comment

0 Comments