WANANCHI wa Katoro Geita na Buseresere Chato wakiwa
wamesimama barabarani huku wengine wakitandika kanga na nguo kama ishara ya
Heshima ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
katika Awamu ya tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wakati akipitishwa
kuelekea nyumbani kwake Chato leo tarehe 24 Machi 2021.
0 Comments