PICHA:CPC YAPELEKA TABASAMU KWA WATOTO YATIMA DODOMA



📌MWANDISHI WETU


Klabu ya Waandishi wa Habari mkoa wa Dodoma (CPC) leo imejumuika na watoto yatima na wale wanaolelewa katika kituo cha Swadiq Development Orphanage kilichopo maeneo ya Swaswa jijini Dodoma.

CPC ikiwakiwalishwa na baadhi ya  Viongozi na Wanachama wake walishiriki kufuturisha watoto hao ambao wapo kwenye kwenye mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

Wanachama wa CPC wakishirikina kushusha maji tayari
kwa kujumuika katika futari

Mwanachama wa CPC Saida Issa (Kulia) akisalimiana na mmoja wa
wale katika kituo hicho.Katikati ni Mwandishi Zena Mohamed

Wanachama wa CPC wakishiriki zoezi la
kupakua futari







Watoto katika kituo cha Swadiq Development Orphanage
wakifuturu







Wanachama wa CPC wakiwa na weenyeji wao ambao ni walezi
wa watoto katika kituo

Abubakar Famau (Kulia) akiongoza dua ya shukrani
baada ya futari.Kushoto ni Ben Bago Katibu Mkuu wa CPC 


Wana CPC wakiwa na wenyeji wao

                                        

Mratibu wa CPC Naomi Godwin (Wa pili kushoto) 
 akiwa katika picha ya pamoja na watoto 


WanaCPC wakiwa katika picha ya pamoja na Watoto na Walezi wa 
kituo cha Swadiq Development Orphanage


Katibu Mkuu wa CPC Ben Bago (Aliyesimama) akitoa neno kwa watoto
 na walezi wa kituo,moja ya ahadi aliyoitoa ni kuendeleza ushirikiano na kituo ili
kuendelea kupeleka tabasamu kwa watoto wanaolelewa kituoni hapo.

SOMA HII PIA👉👉👉WAZIRI UMMY ACHARUKA:WAKIKOSEA WASHTAKIWE KWENYE BARAZA, SIO KUWAHUKUMU KWA UTASHI WA KISIASA. 


Post a Comment

0 Comments