Chama
cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania
24./01/2021
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
TAMWA, ZNZ, yampongeza
Mkurugenzi wake Dr. Mzuri Issa Aongezwa
Chama Cha waandishi wa habari wanawake Tanzania, Zanzibar,
(TAMWA ZNZ) tunapenda kumpongeza
Mkurugenzi wetu Dr. Mzuri Issa kwa
kupata tunzo ya kutoa mchango mkubwa katika
jamii kwenye maisha yake. Tunzo hizo zimeolewa na waandaaji wa Tunzo za Vijana
Zanzibar (ZYA) hii ikiwa ni mara ya pili mfululizo.
Mkuu wa jopo la majaji Bw Rashid Mohammed Rashid, alisema
mara hii pamoja na kuitoa zawadi kwa vijana wameona pia watowe tunzo kwa watu
waliosaidia sana maendeleo ya vijana nchini.
Wengine wanne walipewa tunzo hizo ni Daudi Kombo Maalim,
Shaib Ibrahim Mohamed, Raza Lee na DJ Saleh katika ghafla iliyohudhuriwa na
Waziri wa Habari, Vijana Mh Tabia Mwita huko Michenzani Mall jana usiku.
Dr. Mzuri amepata
tunzo hiyo kutokana na kuwawezesha vijana wanawake katika nyanja mbali mbali za
kimaendeleo.
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
Tanzania Media Women's Association (TAMWA, ZANZIBAR, we would
like to congratulate our Director, Dr Mzuri Issa for being awarded a
certificate of lifetime achievement.
The award was issued by the organizers of the Zanzibar Youth
Award, which had carried it out for the second time on annually basis.
Unveiling the award, the Chief Judge Rashid Mohammed said,
apart from recognizing excellence for youth, they decided to award also the
people who largely contributed to youth empowerment and dynamic.
Other four people awarded were Daudi Kombo Maalim, Shaib
Ibrahim Mohamed, Raza Lee and DJ Saleh, the brief celebration graced by the
Minister of Information and Youth Hon Tabia Mwita at Michenzani Mall last evening.
In particular Dr. Mzuri's award was attributed to her role on
women and girls social economic empowerment.
Dkt.Mzuri
Issa
Mkurugenzi,
TAMWA,
ZNZ
0 Comments